Posts

Showing posts from January, 2022

SABABU / CHANZO CHA UTI / UTIAI.

UTI   yaweza kusbabaishwa na viini tofauti tofauti kuanzia kwa bacteria , fangas na virusi . Bacteria anayeitwa E. coli ndiye mara nyingi husababisha UTI . Bacteria huyu patikana kwa sehemu nyingi za mwili na huwa hasababishi magonjwa ila wanapoongezeka ukeni ndipo husabbisha UTI . Matumizi ya dawa za kuua bateria {antibiotics} ndiyo husababisha wakati mwengine bacteria hawa waongezeke na kusabisha UTI . Matumizi ya baadhi ya mbinu za uzazi zaweza sababisha UTI kutokana na kuhitilafiana na baadhi ya viwango  homoni tofauti mwilini  . Kutokuzingatia usafi wakati mwengine kwaeza sababisha UTI wakati mwengine kwa baadhi ya wananwake . Mwisho mabadiliko ya mazingira kwa baadhi ya wananwake husababisha UTI kwao . 

DALILI ZA UTI / UTIAI KWA MWANAMKE.

  Dalili za uti kwa mwanamke na mwanamke hutofautiana kwa vitu   vichache . Hizi ndizo dalili za UTI kwa mwanamke . 1.      Kuhisi uchungu pale unapojaamiana na mpenzi wako au mumeo . Hii hutokana na vidonda vinavyosbabishwa na bacteria au fangas katika uke wako . 2.      Kuhisi uchungu au kuchomeka / mwasho pale unapoenda haja ndogo . 3.      Kutokwa na uchafu ulio na harufu au sion na harufu ikitegemea imesababishwa na fangas au bacteria . 4.      Kutokwa na harufu mbaya ukeni , na hii mara nyingi hutokana na bateria . 5.      Kuhisi maumivu kiunoni na kwenye sehemu ya chini ya mgongo . Kwakua bateria na fangas husambaa kuna uwezekano wa kusambaa hadi kwenye baadhi ya viungo kiunoni na hivyo basi kusababisha maumivu kwenye kiuno . 6.      Kuhisi joto kupanda mwilini . Kupanda kwa joto mwilini kwaeza ashiria kuwa bacteria au fangas hawa wameingia...