DALILI ZA UTI / UTIAI KWA MWANAMKE.

 Dalili za uti kwa mwanamke na mwanamke hutofautiana kwa vitu  vichache . Hizi ndizo dalili za UTI kwa mwanamke .

1.     Kuhisi uchungu pale unapojaamiana na mpenzi wako au mumeo . Hii hutokana na vidonda vinavyosbabishwa na bacteria au fangas katika uke wako .

2.     Kuhisi uchungu au kuchomeka / mwasho pale unapoenda haja ndogo .

3.     Kutokwa na uchafu ulio na harufu au sion na harufu ikitegemea imesababishwa na fangas au bacteria .

4.     Kutokwa na harufu mbaya ukeni , na hii mara nyingi hutokana na bateria .

5.     Kuhisi maumivu kiunoni na kwenye sehemu ya chini ya mgongo . Kwakua bateria na fangas husambaa kuna uwezekano wa kusambaa hadi kwenye baadhi ya viungo kiunoni na hivyo basi kusababisha maumivu kwenye kiuno .

6.     Kuhisi joto kupanda mwilini . Kupanda kwa joto mwilini kwaeza ashiria kuwa bacteria au fangas hawa wameingia kwenye dam una hivyo kinga yako ya mwili inajaribu kuvikabili .

 

Dalili hizi za UTI hufanana na za magonjwa mengine . Ikiwa uko na takriban dalili tatu zilizotajwa hapa itaashiria UTI .

Popular posts from this blog

Why kipchumba murkomen - shoot to kill orders are illegal and dangerous

How to create robot txt and how to add robot txt to your blogger

Dalili za Mimba ya mwezi mmoja na ya siku moja