DALILI ZA UTI / UTIAI KWA MWANAMKE.

 Dalili za uti kwa mwanamke na mwanamke hutofautiana kwa vitu  vichache . Hizi ndizo dalili za UTI kwa mwanamke .

1.     Kuhisi uchungu pale unapojaamiana na mpenzi wako au mumeo . Hii hutokana na vidonda vinavyosbabishwa na bacteria au fangas katika uke wako .

2.     Kuhisi uchungu au kuchomeka / mwasho pale unapoenda haja ndogo .

3.     Kutokwa na uchafu ulio na harufu au sion na harufu ikitegemea imesababishwa na fangas au bacteria .

4.     Kutokwa na harufu mbaya ukeni , na hii mara nyingi hutokana na bateria .

5.     Kuhisi maumivu kiunoni na kwenye sehemu ya chini ya mgongo . Kwakua bateria na fangas husambaa kuna uwezekano wa kusambaa hadi kwenye baadhi ya viungo kiunoni na hivyo basi kusababisha maumivu kwenye kiuno .

6.     Kuhisi joto kupanda mwilini . Kupanda kwa joto mwilini kwaeza ashiria kuwa bacteria au fangas hawa wameingia kwenye dam una hivyo kinga yako ya mwili inajaribu kuvikabili .

 

Dalili hizi za UTI hufanana na za magonjwa mengine . Ikiwa uko na takriban dalili tatu zilizotajwa hapa itaashiria UTI .

Popular posts from this blog

Why kipchumba murkomen - shoot to kill orders are illegal and dangerous

Dalili za Mimba ya mwezi mmoja na ya siku moja

Pregnancy Symptoms and Signs After One Day and One Month