SABABU / CHANZO CHA UTI / UTIAI.

UTI  yaweza kusbabaishwa na viini tofauti tofauti kuanzia kwa bacteria , fangas na virusi .

Bacteria anayeitwa E. coli ndiye mara nyingi husababisha UTI . Bacteria huyu patikana kwa sehemu nyingi za mwili na huwa hasababishi magonjwa ila wanapoongezeka ukeni ndipo husabbisha UTI .

Matumizi ya dawa za kuua bateria {antibiotics} ndiyo husababisha wakati mwengine bacteria hawa waongezeke na kusabisha UTI .

Matumizi ya baadhi ya mbinu za uzazi zaweza sababisha UTI kutokana na kuhitilafiana na baadhi ya viwango  homoni tofauti mwilini  .

Kutokuzingatia usafi wakati mwengine kwaeza sababisha UTI wakati mwengine kwa baadhi ya wananwake .

Mwisho mabadiliko ya mazingira kwa baadhi ya wananwake husababisha UTI kwao . 

Popular posts from this blog

Why kipchumba murkomen - shoot to kill orders are illegal and dangerous

Dalili za Mimba ya mwezi mmoja na ya siku moja

Pregnancy Symptoms and Signs After One Day and One Month