SABABU / CHANZO CHA UTI / UTIAI.

UTI  yaweza kusbabaishwa na viini tofauti tofauti kuanzia kwa bacteria , fangas na virusi .

Bacteria anayeitwa E. coli ndiye mara nyingi husababisha UTI . Bacteria huyu patikana kwa sehemu nyingi za mwili na huwa hasababishi magonjwa ila wanapoongezeka ukeni ndipo husabbisha UTI .

Matumizi ya dawa za kuua bateria {antibiotics} ndiyo husababisha wakati mwengine bacteria hawa waongezeke na kusabisha UTI .

Matumizi ya baadhi ya mbinu za uzazi zaweza sababisha UTI kutokana na kuhitilafiana na baadhi ya viwango  homoni tofauti mwilini  .

Kutokuzingatia usafi wakati mwengine kwaeza sababisha UTI wakati mwengine kwa baadhi ya wananwake .

Mwisho mabadiliko ya mazingira kwa baadhi ya wananwake husababisha UTI kwao . 

Popular posts from this blog

Why kipchumba murkomen - shoot to kill orders are illegal and dangerous

How to create robot txt and how to add robot txt to your blogger

Dalili za Mimba ya mwezi mmoja na ya siku moja