Kufura kwa pua na uso kwa mjamzito.


 

Kufura  kwa  pua  kwa  mjamzito  ni  dalili  moja  kuu  ya  ujauzito .Kuna sababu  kadhaa  ambazo  husababisha  kufura  kwa  pua .

 

Sababu  za  kufura  kwa uso na  pua  kwa  mjamzito .

Pua  hufura kwa  mjamzito  kutokana  na  kuongezeka  kwa  damu  katika  sehemu  zote  za  mwili  zilizo  na  Mucosal  membranes . Kwenye  uso  wako  kuna  tissues  tunazoita  musoal  membranes . Unapokua  mjamzito  kiwango  cha  damu  huongezeka  katika  mwili  wako . Vile  vile  presha  ya  damu  yako  huongezeka  . Vitu hivi viwili  ndivyo  huchangia  kufura / kuvimba  kwa  uso  na  pua  kwa  mjamzito .

Hali  hii  huendelea  hadi  utakapo  jifiungua  .

 

Tiba  ya  kufura  /  kuvimba  uso  na  pua  kwa  mjamzito .

Kitu  kimoja  ambacho  husaidia  sana  ni  kunywa  maji kwa  wingi . Jitahidi  kunwa  maji kwa wingi  .

Vile vile  jitahidi  kufanya  mazoezi . Usitulie tu  sehemu  moja  kwa  muda  mrefu .

Mwisho  kabisa  ni  vizuri  kutembelea  hospitali  mara  kwa mara  haswa  ikiwa uko na dalili  zingine  ambazo sio  za kawaida .

Popular posts from this blog

Why kipchumba murkomen - shoot to kill orders are illegal and dangerous

How to create robot txt and how to add robot txt to your blogger

Dalili za Mimba ya mwezi mmoja na ya siku moja