Kufura kwa pua na uso kwa mjamzito.


 

Kufura  kwa  pua  kwa  mjamzito  ni  dalili  moja  kuu  ya  ujauzito .Kuna sababu  kadhaa  ambazo  husababisha  kufura  kwa  pua .

 

Sababu  za  kufura  kwa uso na  pua  kwa  mjamzito .

Pua  hufura kwa  mjamzito  kutokana  na  kuongezeka  kwa  damu  katika  sehemu  zote  za  mwili  zilizo  na  Mucosal  membranes . Kwenye  uso  wako  kuna  tissues  tunazoita  musoal  membranes . Unapokua  mjamzito  kiwango  cha  damu  huongezeka  katika  mwili  wako . Vile  vile  presha  ya  damu  yako  huongezeka  . Vitu hivi viwili  ndivyo  huchangia  kufura / kuvimba  kwa  uso  na  pua  kwa  mjamzito .

Hali  hii  huendelea  hadi  utakapo  jifiungua  .

 

Tiba  ya  kufura  /  kuvimba  uso  na  pua  kwa  mjamzito .

Kitu  kimoja  ambacho  husaidia  sana  ni  kunywa  maji kwa  wingi . Jitahidi  kunwa  maji kwa wingi  .

Vile vile  jitahidi  kufanya  mazoezi . Usitulie tu  sehemu  moja  kwa  muda  mrefu .

Mwisho  kabisa  ni  vizuri  kutembelea  hospitali  mara  kwa mara  haswa  ikiwa uko na dalili  zingine  ambazo sio  za kawaida .

Popular posts from this blog

How to file KRA Returns on ecitizen . How to file nil returns on Ecitizen

Why kipchumba murkomen - shoot to kill orders are illegal and dangerous

Pregnancy Symptoms and Signs After One Day and One Month